Page zinazopost ajira Tanzania

C By Captain
April 27, 2025
Page zinazopost ajira Tanzania

Unatafuta kazi serikalini? Usipoteze muda kuzunguka bila mwelekeo!

Sasa hivi, serikali ya Tanzania inatangaza nafasi za kazi kupitia mfumo rasmi unaoitwa:

Ajira Portal
https://portal.ajira.go.tz


 Hapa Ndipo Unatakiwa Kufanya Yafuatayo:

 Tengeneza akaunti yako kwa taarifa sahihi
 Weka CV, vyeti, na taarifa zako za kitaaluma
 Apply nafasi mbalimbali za kazi pale zinapotangazwa

Faida za Ajira Portal

 Nafasi nyingi hutangazwa kila mwezi
 Ni njia ya moja kwa moja kwenda kwenye taasisi za serikali
 Hutumika na Public Service Recruitment Secretariat (PSRS)
 Ni bure kabisa – hakuna malipo yoyote ya kujisajili!“Nilijisajili baada ya kumaliza chuo… mwaka mmoja baadaye nikapata kazi ya serikali kupitia portal hii!” – Asha, Mhitimu wa IFM

Sambaza kwa wanafunzi wenzako – kazi zipo, ila wengi hawajui wanakoanzia Link moja tu  https://portal.ajira.go.tz

#AjiraPortal #NafasiZaKazi #Wahitimu #Serikali #AjiraTanzania

 

Chat with us!
Home Blog Talents Cart Search